Wednesday, November 30, 2011

Wasaani- Almasi

Nilipokuwa na Kenya, nilikuwa na wasaani kwa masaa mengi kwa mwezi wa mwisho. Wasaani wanapenda kuvuta sigara sana. Kila kitu ambacho nilikutana walipenda kuvuta sigara. Pia, walipenda kuimba ‘kareoke’ pamoja. Kila jumatano baada ya kazi tulienda disco kuimba ‘kareoke’ na kunywa Tusker. Baada ya disco tulienda ‘Ken-chick’, pale tulikula kuku katika karatasi ya shajara.

Kenya ni nchi ndogo, kwa hivyo wasaani walijuana. Yaani, rafiki yangu alinijulisha mtu anaitwa Moses. Moses ni mtu ambaye ni bora ya pili mwanamuziki wa keyboard katika Kenya. Nilipomkutana anliniuliza kuimba siku moja naye na bendi yake. Sikufikri ni kweli. Lakini siku ya chache baadaye rafiki yangu na mimi tulienda mkahawa wapi Moses alicheza. Waliniuliza tena kuimbi, nilishtua, lakini ‘ndiyo’ na nilichagua  kuimba ‘Watu wa kawaida’. Nilisahau maneo chache lakini ninafikiri wimbo ambao niliimbi ulikuwa nzri. Sikia!   


Wasaani: Artists/performers
Shajara: notebook
-julisha: introduce   
mwanamuziki: musician
bendi: band

No comments:

Post a Comment