Wednesday, November 2, 2011

Utendaji na Kiswahili- Almasi

Miezi sana iliopita nilichagua kujaribu kufanya shahada madogo na Kiswahili. Nilifanya kazi na Mwalimu nilpokuwa na Kenya kupata pamoja darasa kwa shahada madogo.

Semesta hii nilihitaji kutafuta jinsi ya ninaweza kuagiza idara nyingine. Kwa hivyo, kwa sababu nitapta shihada na thiyeta pia na ninasoma thiyeta ya Kenya sasa nilijaribu kutafuta dararsa kwamba ningeweza kutumia. Bibi Anna Peleggi atafundisha darasa inatiwa "Thiyeta kwa Bashasah Mageuzi". Tutaongeza kuhusu theyeta nchini Brazil ya bwana Boal na jinisa ya thiyeta na watu maskini inaweza mageuzisha maisha kwa watu maskini na watu wote nchini. Kama bwana Boal, Ngugi wa Thiong'o anandikwa na alifanya kazi na watu maskini katika Kamriiithu kuonyesha watu maskini kwa watu maskini bila siasa.

Ninataimani kwamba halamshauri ya maalam shahada madogo watakubali pendekezo yangu.

pendekezo: proposal
utandaji: performance 
madogo: minor
shahada: degree
idara: department
bashasha: social
mageuzi: change
halmashauri: council
maalum: special 

No comments:

Post a Comment