Wednesday, November 30, 2011

Mapokeo ya Kiswahili

Kuna mapokeo katika tamaduni zote duniani. Wiki hii, Waziri Mkuu wa Zimbabwe, Morgan Tsvangirai, alivunja mwiko alipomwoa mke wake katika Novemba, imeyeharimishwa katika utamaduni ule.

Katika tamaduni za Afrika Mashariki, hasa utamaduni wa Waswahili, kuna desturi ndefu sana ya mapokeo haya, na aina moja kuonya shagala kama hizi ni kuenea methali dhidi ya zile. Hapa ziko methali chache za Kiswahili zinazowaonya watu dhidi ya mapokeo fulani:

Kukutana na paka mweusi usiku ni nuksi.

Kula gizani ni kula na shetani.

Kuuza chumvi usiku ni nuksi kwa mwenye duka.

Mtu akila bila ya kupiga Bismillahi, basi baraka itaondoka na mtu hataweza kushiba.

Kuzaliwa na vidole sita ni mabruki.

Kutembea hali ya kuwa amevaa kiatu kimoja tu kunavimbisha ziwa la mama yake mtu.

Msamiati (mpya):
kuvunja mwiko - to break a taboo
kuharimisha - to make a taboo
pokeo/ma-  - superstition
kuonya - to warn against...
shagala - activity
kuenea - to spread
desturi - tradition
dhidi ya - against...
nuksi - bad luck/omen
mabruki - blessing
kuvimba - to swell

--Petero

No comments:

Post a Comment